ROSTAM Wamkana Lulu Michael.

Wasanii wa hip hop nchini Roma na Stamina  wamekanusha taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa  wimbo wao mpya mabo ulitambulishwa wiki hii na wake zao kuwa uliimbwa ukimlenga msanii wa maigizo Lulu Michael kwa sababu ya mambo yanayoendelea katika mahusiano yake kwa sasa.

Kama utakumbuka, wikiendi iliyipota mwanadada Lulu Michael amevalishwa pete ya uchumba na mwanaume aliyakaa na katika mahusiano kwa muda mrefu ambae ni meneja ya EFM Majizo.

download latest music    

Hapana sisi hatujamzungumzia lulu , mwajuma ni mwanamke mcharuko na pia mtata sana na watu wengi walisema kuwa hatoolewa lakini mwisho wa siku aliolewa na sidhani kama lulu ana tabia hizo.-Alisema stamina alipokuwa akiongea na palnet bongo ya EATV.

Hata hivyo roma anakazia na kusema kuwa katika video hiyo walitaka kumchukua wema kama vieo Queen lakini mke wake alikataa swala hilo kwa sababu wema hana tabia za uswahilini.

pia tulikuwa na nia ya kumchukua wema sepetu , lakini mke wangu akasema kuwa wema hawezi kufit na ndio maana tumemchukua nisha na amefanya kitu tulikuwa tunataka.japo wengi walijua kuwa tungemchukua Rimaya , au hata shiloleh pia angefaa lakini sasa yeye alishaolewa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.