Ruby afunguka baada ya kudaiwa kuwa ujauzito wake ni wa Alikiba

Mwanamziki wa bongo Ruby anadaiwa kuwa na mimba ya Alikiba, hata hivyo hakuna aliye na uhakika wala dhibitisho tosha kuhusu uvumi huu.

Akizungumza na Bongo 5 hivi karibuni Ruby alikiri kuwa amesikia maneno Hata, lakini kulingana na yeye huu ni uvumi usio na ukweli wowote.

download latest music    
Ruby aonyesha mimba yake

Ruby aliendelea kuongeza kwa Sasa amezoea kusikia watu wakidai kuwa yeye ni mpenzi wa Kiba, lakini hana la kusema kwa sababu uhusiano wake na Kiba ni wa urafiki tu.

Tazama mahojiano yake na Bongo 5 hapa;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua