Ruby Akana Kujihushisha Mambo ya Kishirikina.
Msanii wa bongo fleva Ruby amefunguka na kukanusha tetesi zinazosambaa juu yake kwamba amekuwa akitumia nguvu za giza kwa ajili ya kuu-push mziki wake ili uweze kufanya vizuri katika soko la muziki.Mwanadada huyo ambae hivi karibuni ametoa wimbo wake mpya wa Niwaze ambao amewashirikisha yhe mafik nasema kuwa tuhuma hizo sio kweli juu yake hata kidogo.
Mimi siko hivyo na wala siyajua hayo mambo kabisa , mimi nina bibi na babu yangu wako tanga hayo mengine siyajuai kabisaaa- alisema ruby alipokuwa akiongea na Papaso ya TBC.
Ruby anasema kuwa kwa anachokiamini yeye ni Mungu na ndio anaemsaidia katika muziki wake hayo mengine hayajuai na kupenda mashabii zake kumemfanya afanyye vizuri zaidi.