Sababu ya Wolper Kutolewa Kuwa Jaji Miss Tanzania.

Mkurugenzi mkuu wa The Look ambao ndio waandaaji wakuu wa mashindano ya miss tanznaia nhini kwa mwaka huu yanayotarajiwa kufanyikaSeptemba 8 amefunguka na kujibu maswali ya wadau waliokuwa wakiuliza kwanini jackline wolpre hayupo katika majaji watakaofanya kazi hiyo siku ya miss tanzania.

Basila anasema “katika ngazi ya kanda  majaji ni kamati ya miss Tanzania  au watu ambao kamati itawapendekeza, na Jackline Hakuwa kamati ya Miss Tanzania.

download latest music    

Lakini pia majaji wanapewa semina, wolpr alichelewa kufika katika semina hivyo ataingiaje katika majaji wakati hajaongozwa, sio kuwa super star u basi  uje kujaji , hapana kuna miongozo maarumu ambayo alitakiwa kupata endapoa ngehudhuria kama wale majaji wengine walivyopewa , lakini yeye kafika semeina ieshaisha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.