Sabby Angel Amtaka Maimartha Kutoingilia Mambo ya Hamisa Na Zari

Mwanadada Sabby Angel ameamua kumpa ushauri wa bure mwanamke mwenzie maimartha wa jesse kufuatia migogoro inayoendelea katika mitandao kati ya Hamisa Mobeto na Zari The Bossy kila siku katika mitandao ya kijamii.

Sabby anamwambia maimartha kuwa ni bora kukaa kimya na kuwaangalia wawili hao wakifanya wanayoyafanya kuliko kukaa na kuingilia kwa sababu wao ni wanawake wa mwanaume mmoja ambae kila mtu anamtoto na mwanaume huyo ( Diamond).

download latest music    

Maimartha asiiingilie kati ya hamisa na zari kwa sababu wote ni wazazi wenzie na DIAMOND ,  na hata yeye mwenyewe haonekani kuwa na  msimamo na mwanamke yoyote kati yao kwaio kuingilia ni kujichoresha tu.

Maimartha ambae hapo wali alikuwa akimshambulia sana Hamisa lakini sasa hivi anaonekana kuwa na chuki na zari na amekuwa akimsema katika ukurasa wake wa instagram.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.