Sakata la Wema, Muna Nae Aingizwa Ndani.

Baada timu za wasanii mbalimbai wakijaribu kila mmoja kumtetea msanii wake , kuna tetesi zilizoibuka zikidai kuwa mwanadada Muna aliwahi kutaka kutoa ushaidi na uthibitisha kuwa mwanadada wema sepetu aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na boss wa efm na kwamba hata mpenzi wake alikuwa akijua hilo lakini aliamua kunyamaza kimya.

moja ya kurasa za udaku zilizotoa tetesi hizo zinasema kuwa muna alikkuwa akijua swala hilo lakini alikaa kimya kwa muda na hata alipoambiwa kuhusu swala la ushahid alisema anauwezo wa kutoa ushaidi kwa hilo.

download latest music    

Hata hivyo muna alikana tetesi hizo na kusema kuwa anaomba watu wasimuingize katika maswala ya kishetani kwa sababu kwa sasa yeye amejikita zaidi kumtumikia Mungu wake.

Ikumbukwe kuwa Muna na Wema waliwahi kuwa marafiki wakubwa sana na kufikia hatua ya kufanya kazi pamoja lakini walipokuja kugombana walijikuta wakitajiana siri nyingi walizowahi kuzijua kwa upande wa kila mtu, lakini pia ikumbukwe kuwa Majizo ana mahusiano na Lulu ambae pia ni rafiki wa Muna.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.