Sanchi: Sina Shida Ya Kuolewa Kwa Sasa

Socialite maarufu mtandaoni Janey Ramoy maarufu kama Sanchoka Sanchi amefunguka na kutoa povu zito kuwa hahitaji kuolewa kwa sasa na kama endapo akihitaji kuolewa ataolew.

Sanchi ametoa povu hilo baada ya kudai kuchoshwa na maneno ya watu wa mitandaoni ambapo Sanchi amesema hajaolewa mpaka sahivi kwa sababu hajaamua lakini sio kwamba amekosa mwanaume wa kumuoa amekiri kuwa wanaotaka kumuoa ni mwingi wamepanga foleni msururu wanamsubiria.

download latest music    

Tangu msanii Ay amuoe Remmy mrembo kutoka Rwanda kumekuwa na maneno mengi sana yamezuka mtandaoni kuwa Remmy ameolewa kwa sababu ya kujiheshimu na kutokaa uchi kama wanawake wengi wakibongo kama Sanchi.

 

Sanchi ni moja kati ya mastaa wa Instagram aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na umri lake kubwa ambalo ni Mashalaah maeneo ya nyuma ( makalio) lakini kilichompa umaarufu zaidi ni kawaida yake ya kukaa wazi muda wote mtandaoni na kujiachia kinusu utupu na nguo za ndani tu.

Kutokana na tabia yake ya kuvaa nusu utupu karibu kila siku watu wengi wamekuwa wakimnyooshea kidole wakidai haolewi pamoja na kuwa na makalio mkubwa lakini hakuna mwanaume anayetaka kumuoa.

Sanchi amefunguka na kutoa neno kwa Global Publishers na kudai kuwa hana shida ya kuolewa kama watu wengi wanavyofikiria:

Jamani naomba watu wajue kabisa kuwa mimi Sihitaji kuoelewa kwa sasa ningekuwa nataka kuolewa ingekuwa zamani tu nimeshaolewa wapo wanaume wengi tu wanataka kuleta posa kwetu lakini kwa sasa nimesema hapana kwanza”

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.