Sanchoka Aamua Kufanya Mabadiliko ya Mavazi.

.Mwanadada anaesifika kwa maumbo makubwa na kutupia picha za uchi katika mitandao maarufu kama Sanchoka amefunguka na kusema kuwa kwa sasa anaanza kufanya mabadiliko ya kuvaa nguo fupi na kuanza kuvaa ndefu kwa sababu ameona kuwa hata hizo ndefu pia zinampendeza na zinamtoa poa.

Sanchoka nasema kuwa tangu mwaka huu umeanza ameamua kufanya mabadiliko ya mavazi na kuvaa nguo ndefu kwa sababu anaona kabisa nguo ndefu pia zinamtoa poa na kuonekana maridadi zaidi.

download latest music    

unajua kila kitu ni mpaka ujaribu kukifanya ndo utajua.lakini kwa upande wa nguo nimeamini kuwa hata nguo ndefu pia zinanitoa poa tu na zinznipendeza tu hata nikienda kwenye hafla mbalimbali  navaa naonekana msichana wa nguvu mwenye heshima zake.

Sanchoka ni moja kati ya wanamitindo wa kike waliowahi kutajwa katika orodha ya wasichana wanaovhapisha picha katika mitandoa ya kijamii wakiwa uchi na kuvunja maadili yakitanzania kwa kufanya hivyo.wasanii wengine ni kama gigy money na susan michael.

Sanchoka aamua kubadilika sasa na kuanza kuvaa nguo za heshima na kuficha maungo yake na anaamini kuwa pia watu waliozoea kumuona nusu uchi wataanza pia kumzoe na nguo ndefu.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.