Sarah Wa Harmonize Adaiwa Kufa na Kuoza Kwa Penzi la Bodyguard Wa Diamond

Mpenzi wa msanii wa Bongo fleva kutoka Label ya WCB Harmonize, Sarah maarufu kama Sarah Mzungu amejikuta ndani ya skendo nzito baada ya kudaiwa kuhamisha penzi lake kutoka kwa Harmonize kwenda kwa Bodyguard wa Diamond.

Habari kutoka Kwenye mitandao ya kijamii zinadai kuwa hivi sasa Sarah amehamisha penzi kwa Bodyguard wa Diamond anayeitwa Mwarabu fighter na kudaiwa kumsahau mpenzi wake Sarah.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mange Kimambi amepasua jipu hilo na kudai harmonize anamlilia Sarah asimtose kwani keshahamisha majeshi kabisa kwa Mwarabu fighter:

Basi mnaambiwa Sarah wa Harmonize yuko deep in love na Mwarabu yaani sahivi Harmonize ndio analia mzungu asimkimbie ila bibie mnaambiwa anampenda Mwarabu Fighter. Siku hizi mnaambiwa Mwarabu gym anafanya, Collesium bibie analipia, ana maisha mazuri mzungu anampa hela balaa Mnaambiwa mapenzi moto moto”.

Baada ya tetesi hizo kuingia kwenye mitandao ya kijamii mara moja Sarah alianza kuposti kukana tetesi hizo Lakini mara moja Mange alidai kuwa anayeposti vile sio Sarah bali ni harmonize ambaye ana password ya akaunti ya Sarah.

Harmonize aliposti picha ya Mwarabu Fighter na kuandika maneno haya kuashiria Stori hiyo haina ukweli:

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.