Shaa Ampa Shavu Adam Juma, Asema Hakuna Producer Kama Yeye.

Msanii mkongwe wa bongo movies nchini Shaa ambae ni msanii wa siku nyingi  amefunguka katika page zake za mitandao ya kijamii na kumsifia director wa siku nyingi wa nyimbo za bongo Adam Juma na kusema kuwa pamoja na uwepo wa ma-producer wengi nchini lakini kwake yeye Adam Juma ndio mtayarishaji bora kwa miaka yote.

                                                           

download latest music    

 Mtayarishaji maarufu wa nyimbo nchini ,Adam juma

Shaa amesema kuwa hata watu waseme kuwa amelogwa kwake iwe sawa tu lakini  anaamini kuwa hasingetokea kumjua hata Director maarufu wa sasa Justin Campos kama asingefanikishiwa yote hayo na Adam Juma.

call me pld school but adam juma will always be my go to video director and producer …nisingemjua justin campos if it werent for adam…love you bro!-Aliandika  sha katika ukurasa wake wa Twitter .

Na baadae alikuja kuongezea katika ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika tena”this is wher people will say umeniloga ..weeniloge tu #adamjuma want you to know that i appreciate mchango wako katika industry hii..and thank you for every seconf that you commit /commiteds to this industry.

Ni wasanii wachache sana wamekuwa wakishukuru na kuona mchango wa watu waliowatoa mbali kama shaa ambae amekuwa katika game kwa muda mrefu na bado akaona kabisa kuwa adam ni moja ya watu wasioweza kusahaulika katika kazi yake ya muziki.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.