Shamsa Afunguka Kuhusu Nguo Aliyovaa kwa Zamaradi.
Mwanadada Shamsa ford amejikuta alitoa povu zito baada ya siku ya 40 ya king salah ambae ni mtoto wa zamaradi kutokana na maneno ya wwatu katika mitandao hasa page za udaku kumsema kuwa hakuendana na dress code ya sherehe hiyo kutokana na kuvaa nguo fupi.
Page hizo zilipokuwa zikimtukana sana shansa walikuwa wakimtuhumu kwa kumwambia kuwa nguo hiyo haikuwa ya heshima kwa sababu watu wote waliokuwepo katika kamati walivaa nguo ndefu sasa kwanini yeye hamtie aibu rafiki yake kwa kvaa kinguo kifupi kama alichokuwa amekivaa.
Mnachoshindwa kuelewa kuwa hii ilikuwa ni party ya kumpongeza zama kutoka nje na mtoto na ndio maana kila mmoa alivaa vile anavyotakazama liashafanya shereh nyingi sana na zingine za kidini na alikuwa akialkia watu wake wa karibu na ndio maana hata yeye hukumuona kafunika kichwa.ila asanateni sana jamani kwa kuniongelea mmenibusti kidogo maana ningevaa mnavyotaka msingeniongelea kabisaa.
Mitandao ya kijamii hivi karibuni imekuwa ikimuandana mwanadada shamsa ford kutona na maisha anayoishi huku wengine wakisema amefulia na wengine wakisema ameachana na mume wake.