Shamsa Ford Aibuka Kumtetea Uwoya Baada Ya Picha Yake Ya Utata Kusambaa

Muigizaji wa Bongo movie Shamsa Ford ameibuka na kumkingia kifua Msanii mwenzake Irene Uwoya baada ya picha yake ya utata kusambaa mtandaoni.

Siku ya jana Irene Uwoya alitengeneza headlines baada ya kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha maungo yake nje ndani ya nguo ya kuogelea.

download latest music    

Watu walimjia juu Uwoya baada ya picha ile kusambaa ingawa mwenyewe alijitetea kuwa alikuwa yuko Beach na lile ni vazi la kuogelea hivyo haoni tatizo.

Shamsa amemtetea Uwoya na kuweka wazi kuwa haoni kama kuna kosa yeye kuvaaa vile hasa ukiangalia alikua mazingira ya baharini hivyo kuvaa vazi la baharini.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Shamsa maandiko ujumbe huu:

Picture zako zote nzuri mama umependeza sana, mimi nachojua mtu unavaa kutokana na location unayoenda, sasa sidhani kama Ir

Kuna wengine wanavaa en anaweza akavaa hivi halafu akaenda ofisini. Sasa mtu yupo beach mlitaka avae dira.

Mumewe amemsifia amependeza sasa nyie wapembeni mnasema amekosea mnajisumbua, kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake binafsi na Mungu. Tusiishi kwa kuhukumiana maana wa peponi hawajulikani.

hadi dira beach lakini matendo yake ukiyashuhudia unaweza ukatoa mbio. Tatizo lako wewe dada Iren ni hilo umbo ndo limewakosesha amani watu.Ungekuwa na flatscreen maneno yasingewatoka hebu kafanye operation upunguze Gushepu“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.