Shamsa Ford Ajivunia Mapenzi ya Mumewe.

Mwanadada Shamsa ford ambae mara nyingi amekuwa akionekana kuwa tofauti na mawazo ya wasanii wengine au mashabiki amefunguka na kuonyesha ni jinis gani amekuwa akiringa na kujivunia sana mapenzi ya mume wake kuliko kitu kingine chochote.

Shamsa ford ambae anasema kuwa hata kama anachokiongea kinaweza kusababisha watu kumchukia wakati yeye akiamini kuwa ni ukweli , kwake wala hajali kwa sababu anajua kuwa akisapotiwa na kupendwa na mume wake basi kwake yeye inatosha sana.

download latest music    

Shamsa akiongea na moja ya gazeti la kampuni ya GPL, baada ya kuulizwa swala la yeye kutokea tofauti na wengine katika 40 ya mtoto wa zamarad shamsa anasema

mimi mungu kanijalia maneno kwaio mara nyingi huwa sijali kabisa,na isitoshe mimi chidi akinipenda na kukubali maamuzi yangu tu kwangu inatosha kabisa wala siwezi kumridhisha kila mtu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.