Shamsa Ford:-Faiza Ally ni Mkurupukaji

Mwamamama Shamsa Ford amefunguka na kuongelea kuhusu swala lake kuongelea kuhusu madili ya makampuni mbalimbali ambayo yamekuwa yakienda kwa wasanii wa nje na sio kwa wazawa na mfano mzuri ni ile ya wiki iliyopita kuhusu Zari The Bossy alipokuja bongo na kusaini mkataba mkubwa huku wasnaii wakubwa  wa ndani wakiachwa.

Baada ya hayo Faiza alifunguka na kuongela lake lakini pia shamsa alifunguka na kuongea lake , sasa swali linakuja kuwa je wawili hao wanamahusiano gani mpaka kufikia hatua ya kukinzana katika mawazo hasa katika swala kama hilo.

download latest music    

mimi na faiza sio marafiki lakini nilimzoea kutokana na ukaribu wake na zama na mimi pia ni rafiki wa zamaradi, lakini pia nilikuwa naona anayoongea kuhusu single mothers kwa sababu hata mimi nilikuwa huko hivyo alikuwa akionge nina-feel kile anachoongea, lakini alipokuja kwenye hili niliona kawaida na kwa sababu nilishamzoea kuwa yeye ni mtu wa kukurupuka a, akikutupuka anaongea tu lolote analojisikia.

Sikutaka kumjibu kwa sababu pale uapoona mtu ameandika kitu kuhusu swala fulani basi liwe linahusu hisia zako lakini pia mimi ninapoandika basi niwe naheshimu hisa zako na zangu pia.kwaio haija haja ya kukosoa kwa sababu kila mtu na hisia zake.

Hatupaswi kutoleana amneno ambayo watu wanweza kuhisi labda tuna ugomvi , mimi ni mzazi na wewe ni mzazi kwaio inabidi tuheshimiane.-Alifunga shamsa alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wa habari kutoka Ayo Tv.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.