Shamsa Ford- Mara Nyingi Sipendelei Kujichanganya na Watu

Muigizaji wa Bongo movie Shamsa Ford amefunguka na kudai mara nyingi hupendelea kukaa mwenyewe kuliko kukaa na kujichanganya na watu wengine.

Shamsa amedai kuwa sababu pekee inayomfanya yeye kukaa mwenyewe ni kuamini kuwa akijua mwenyewe a anaweza kuipa akili yake muda mrefu wa kufikiria na kutafakari mambo mengi.

download latest music    

Shamsa alifunguka hayo Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers ambapo amekiri kuwa kuna wakati anapenda kukaa peke yake kabisa tena kwa muda mrefu ili kuweza kupata muda mwingi wa kujikwagua na kujitafakari wapi yupo sahihi na wapi amekosea ili awe mpya Tena.

Dawa yangu kubwa mimi kuna wakati napenda kukaa pekee yanagu najikwagua vizuri sana kuliko mtu anikwague kwasababu najua wapi niliteleza wapi nilikuwa sahihi”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.