Shekhe Kipozeo Amjibu Alikiba Kuhusu Ku-post Picha za Marehemu.
Kiongozi wa dini, maarufu nchini Shekhe Kipozeo , amefunguka na kumjibu alikiba aliyewahi kuwajibu mashabiki wake kuwa kwa upande wake hawezi kupost picha ya marehemu katika ukurasa wake wa kwa sababu dini yake hairuhusu kupost picha ya mtu aliyekiwsha fariki.
Shekhe Kipozeo akiwa kama kiongozi wa dini alifungua na kusema kuwa hakuna dhambi yoyote kupost picha ya mtu aliyekwisha fariki lakini kitu kischotakiwa ni kuweka mabaya yale hadharani kwa sababu huyo mtu hatunae tena.
Kupost picha ya marehemu hakuna ubaya wowote,ila tu unatakiwa kutoyataja mabaya yake tu.