“Shepu nilijaliwa nayo” Wema Sepetu aisifu umbo lake (Picha)

Mtoto kajaliwa umbo kusema! Wema Sepetu ‘alichokoza’ wanaume baada ya kuweka picha zake kadhaa kwenye mtandao wa Instagram.

Mrembo huyo alichangamua watu kwa Instagram kwa kuonyesha umbo lake kwa maringo kwenye photo shoot mpya.

download latest music    

Wema aliongelea kila sehemu ya mwili wake huku akisema kuwa ameridhika na vitu zote ambazo alipewa na Maulana.

“Shepu ya mwendokasi… Ndo niliojaliwa nayo… Kama imeanzia kiunoni kwenda magotini ndo niliojaliwa nayo… Kama wewe hauna basi mshukuru Allah… Ndo nilivyoumbwa jamani… Sio mimi bali ni Maulana ndo alionibariki nayo… Hata ingekuwa kwanzia kichwa hadi Vidole vya miguuni ni sawa pia… Ndo niliojaliwa nayo…. Sometimes najiangalia kwenye kioo sijimalizi… Ndo majaliwa yangu… Ndo yangu basi… Imenizidia… Allah Subhanah wataallah ndo amenipa… Aaaah….!? Sio shepu ya kawaida… Niacheni na Shepu yangu jamani… Ndo nishaimiliki mie… Siwezi kuitoa…. ????” Aliandika Wema Sepetu.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere