Shett afaunguka Utajiri wa Gari lake Kufanana na Kiwanda

Msanii wa bongo fleva shetta amefunguka na kusema kuwa kwa kiwango cha pesa aliamua kukiweka katika ununuzi wa gari lake jipya kama angekuwa anataka kufungua kiwanda basi angeweza kufanya hivyo siku nyingi.

Maneno ya Shetta ayanakuja baada ya kufanya mjadaka katika EATV katka FNL kuhusu swala la Fid q kuingia na gari lake mpya katika vituo hivyo ili watu waweze kuona gari lakini ikiwa ni kama hatua ya kuwaamisha watu kuwa hata yeye amekuwa na mafanikio lakini hana majivumo.

download latest music    

Fid q alisema kwamba moja ya wasanii wa zamani sana lakini wamekuwa hawana mafanikio katika muziki wanaofanya, lakini kwa kuwjaibu wapinzani wake aliamua kufanya hivyo.

Hii gari kuingia ndani ni kwa ajili ya bwana fareed kulionyesha ua , mbona mimi nina gari ya milion 150 lakini sijaingia nalo ndani.mimi gri yangu bwana hata muulize fid q anajua , ningeamua kufanya biashara kwa sasa ningelkuwa nina miliki kiwanda cha pampers huko kinaitwa Kaila pampers.

Baadhi ya wasanii wamekuwa na mafanikio lakini hawataki kuwaonyesha mashabiki au watu kuwa wako hiyo , swala linakuja pale kunapotokea ushindani baina ya wasanii ndipo unaona kila mtu anaibuka na lake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.