Shilole afunguka kwanini hataki wanawe wavae kama anavyo vaa

Shilole anajulikana kwa kuvaa mavazi za nusu utupu. Mara nyingi mavazi anayovaa Shilole huzua utata kwani watu wengi huseme yeye (Shilole) ni Muislamu na anafaa kuvaa mazazi ya kiheshima kulingana na dini hilo.

Shilole ata hivyo hataki wanawe kuiga mavazi ya nusu utupu anayovaa kwenye shoo zake wala maisha ya sanaa anayoishi yeye.

download latest music    

Katika mahojiano na Mtanzania, Mrembo huyo alisema kuwa anawalea watoto wake kuligana na maadili yanayokubalika na jamii. Alisema kuwa wanawe wanatambua kwamba mama yao ni msanii hivyo hawataiga anachofanya.

Shilole na mwanawe

“Watoto wangu nawalea katika maadili kama mama, siwezi kuwalea maisha ya kistaa kama ninavyoishi mimi na wanatambua kwamba mama yao nipo kazini kwa ajili yao na pia hawana ndoto za kuishi maisha yangu ya kisanii,” alieleza Shilole.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere