“Shilole Angetaka Kiki Angeenda Beach na Uchebe Wake na Kuvua Nguo Zote”-Nay Wa Mitego

Msanii wa MuzikiSana wa Bongo fleva Nay wa Mitego amemjia juu Msanii mwenzake Shilole baada ya kuingilia kati sakata la Muna na kumrushia maneno katika Interview mbali mbali.

Nay ameibuka na kumkingia kifua Muna na kumtolea povu Shilole na kudai anatafuta kiki Kupitia ishu ya Muna na hana lolote kingine linalomsumbua.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nay wa Mitego alimuandikia ujumbe huu Shilole:

Shiloleeee Zainabuuu nadhani ulimiss tu Media dada yangu nadhani umefanikiwa kwa kiasi chake. Ulichokosea ni ishu uliyoingilia yaani gear  yako. Sioni alichokosea huyo unayemuita mdogo wako Muna ameongea mengi ambayo watu walitaka kujua nini kilichokuwa kinamsumbua Patrick.

Sasa ungetaka kiki mngeenda Beach na Uchebe wako mnavuana nguo zote alafu mbapiga picha halafu mnaposti bila hata caption halafu mtaona kiki yake ingekuwa noma.Lakini hili la Muna umejichoresha tu umeonekana ulikuwa unatafuta…..Mtazamo wangu tu”.

Sakata kati ya Muna na Shilole lilianza baada ya Muna kufanya Interview na kuweka wazi kuwa Casto ndiye Baba halali wa marehemu mtoto wake Patrick na mambo mengine ambayo yalionekana kutompendeza Shilole.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.