Shilole atangaza kuwachia wimbo mpya utakao kuwa funzo kwa wengi

Image: shilole

Zuena Mohammed anayejulikana kwa umaarufu kama shilole amefunguka kusema kuwa anajipanga kuachia wimbo mpya mwishoni mwa mwezi huu ambao utakuwa tofauti na nyimbo zake zingine kwa sababu una ma­hadhi ya Afropop.

Akizungumza kwenye interview, Shilole alisema kuwa wimbo huu ni wa kipekee kwani maudhui yake ni ya kuwaelimisha wengi. Aliendeleak kusema kuwa ujumbe wake ni mzuri kwa jamii na mashabiki wake watafurahia.

download latest music    
Shilole
Shilole

Mrembo huyu alisema;

“Natarajia kutoa wimbo mpya mwishoni mwa mwe­zi huu, nimeimba mahadhi ya Afropop naamini uki­toka tu na watu wakiusikia utakuwa funzo kwa jamii kutokana na ujumbe uli­omo humo.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua