Shilole- Siwezi Kuwacheza Watoto Wangu

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kwa jina la usanii kama Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kuwacheza watoto wake.

Shilole ambaye ni mama wa watoto wawili wa kike ambao alizaa na mwanaume ambaye alifariki wiki chache zilizopita, amekataa kuwacheza intangibles watoto hao.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha  Break cha Clouds TV Shilole amesema kuwa ingawa katika kabila lao (Wanyamwezi) wana utamaduni huo hawezi kuruhusu kwa wanae.

Siwezi, sasa hivi hatuna watu wakubwa ambao wapo, sinaunajua zinakuwaga kama familia. Lakini zamani mambo hayo ndio yalikuwepo tofauti na sasa”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.