Shiloleh Ajipanga Kurudi Shule Tena.

Mwanadada na msanii maarufu zuwena mohamed ambae siu chache zilizopita alikuwa amepata nafasi ya kwenda kutembelea chuo cha NCT ambapo alipata nafasi pia ya kuona kozi mbalimbali zinazopatikana chuon hapo na kuongea na baadhi ya wanafunzi alifunguka na kuhaidi kuwa atajipanga na yeye kurudi chuoni hapo kwa ajili ya kuongeza elimu kuhuusu mapishi.

Shiloleh ambae ukiachana na kazi ya muziki anayoifanya lakini pa ni mpishi mzuri wa chakula na amekuwa akiwalisha watu wengi jijini, amesema kuwa kuna haja ya yeye kurudi chuo na kusomea kozi hiyo ili kuongeza ujuzi zaidi.

download latest music    

kutoka katika chuo cha NCT waliandika haya baada ya shishi kuondoka chuoni hapo” siri imefichuliwa na shishi mwenyewe  mmiliki wa mgahawa wa shishi food kuwa kumbe mambo yanalipa sana , ila yeye hakusita kufika chuoni hapa NCT kuiongezea thamani ya chakula chke kwa kupata dondoo  juu ya ukarimu na ufahamu kuhusu  ujasiriamali lakini pia  utaalamu katika maswala ya food production.

alisema kuwa atakuja yeye na team yake kupata kozi fupi , ulikuwa ni wakati mzuri kukutana na anayeitumikia sekta ya ukarimu wake  na wale wanaojiandaa  nafasi bado ni nyingi , hataki  ujinga wa kupishana na fursa.aante sana shishi kwa kupata nafasi ya kutembelea hapa.

Shiloleh anawekwa katika list ya wasanii wanaojituma na kufanya kazi buoa kukata tamaa hasa  kutokana na kuamua kufanya muziki na mapishi kwa wakati mmoja.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.