Shiloleh Amtolea Mapovu Muna “Utapata Tabu Sana”

Baada ya kuongea na waandishi wa habari, mwanadada Muna alisema mengi huku akisema kuwa anao uthibitisho wa kutosha kuwa mtoto wake patrick ni mtoto wa Casto na wala sio vinginevyo, huku akisema kuwa  hakuwahi kuwa na mahusiano na peter hata siku moja bali alikuwa akimchukulia kama baba yake na mtu wake wa karibu.

Kila mtu ameyapokea maneno ya Muna kwa hali tofauti lakini shiloleh ni moja ya watu walionhea mara tu  baada ya mahojiano hayo kuisha na kumshangaa sana muna kuwa amepata wapi nguvu ya kusimama na kuwaita waandishi wa habari mpaka kuja nyumbani kwake na kuongea kile alichokiongea .

download latest music    

Shiloleh anasema kuwa hata kama alichokiongea kina ukweli lakini hakupaswa kuonyesha au ku-prove chochote kwa mtu yoyote kwa sababu hata 40 ya mtoto wake ilikuwa bado haijafika.

Muna unaenda kuita press conference,ufanyiwe interviw for what, unafurahia nini, unawaia unawaambia nini na juzi tu umetoka kuzika mtoto wako.unataka kuthibitisha kuwa huyo mtoto ni wa casto hatutaki kujua, we dont need it…mimi ni dada yako kama ungekuwa na shda ungenifata tu kama unavyonifataga kwenye mengine…muna utapata tabu sanaa.

Shiloleh ameonyeshwa kusikitishwa sana na kitendo cha muna kumkana mume wake ambae amefunga nae mpaka ndoa kwa ujinga wake mwenyewe.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.