Shiloleh Atoa Angalizo kwa Wanaomuwinda Mume Wake.

Msanii wa muziki Bongo, Shilole amechimba mkwara kwa wale wote anaoamini kuwa wanamnyemelea mume wake, Uchebe.

Muimbaji huyo ameeleza kuwa toka mwanzo aliridhika na hali ya mume wake lakini sasa watu wanapoona anang’aa ndipo wanamnyemelea. Kupitia ukurasa wake Instagram ameandika;

download latest music    

“Nililizika na hali yako tangu mwanzo mpaka sasa unashaine Ila wadangaji msivyo na haya mnaanza
kumwambia Mume wangu Uchebe Umekuwa Handsome, Mkome Namtunza! zamani mlikuwa wapi??,” ameeleza Uchebe.

Shilole na Uchebe walifunga ndoa December 07, 2017 na mwaka jana Uchebe alioonekana kwenye video ya muimbaji huyo inayokwenda kwa jina la Mchakamchaka

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.