Shiloleh Awatolea Povu Walimshambulia Baada ya Kumuomba Sapoti Rais.

mwanadada Shilole hivi karibuni alituma salamu zake kwa rais wa Tanzania na kumuomba aje kujaribu kula chakula chake katika mgahawa wake wa shishi food , Shiloleh alisema kuwa moja ya ndoto zake ni kumuona rais akila chakula chake na anatumaini kuwa Rais atamsikiliza ombi lake na kumjibu kwa kujongea mgahawani hapo.

Hata hivyo wapo waliomua kama anaigiza au anatafuta kiki hivyo kuanza kumshambulia kwa uamuzi wake huo, basi shiloleh nae hakuona uvivu kuwajibu kwa kuwatolea povu katika ukurasa wake wa instagram na kusema

download latest music    

Niombe radhi kwa walionilelewa vibaya maana mimi huwa si-fake masha kabisa, naishi maisha yangu.sina utajiri huo kama mnaosema na hata nyumba niliojenga nilijenga kwa kujiwekea kidogo kiodgo kama mam ntilie na msanii, na ndio maana hata nilipofanikiwa niliona bora kushare na nyie ili kuwaonyesha ni jinsi gani mnaweza kunisapoti na kufika hapa nilipofika.

Nilichoomba juzi kwa baba magufuli ni sapoti na kuendelezwa kwa wanangu katika vipaji wanavyosomea,mimi napambana sana ili wanangu wapate kusoma lakini natamani sana kuwapa zaidi ya kile ninachowapatia, kwaio nikaona kwanini nisiweke kilio changu kwa mheshimiwa rais wakati yeye ni mtu anajali sana elimu ya watoto wa kike.

Mwanadada shiloleh ambae kila siku amekuwa akipambana kufikia malego yake hakuona aibu kuweka wazi kwa mba anatamani sana kupata sapoti ya elimu ya watoto wake kwa mheshimiwa rais kwa sababu anatamani watoto wake wafike mbali na pale anapooona yeye kwa sasa wanaweza kufika.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.