Shishi Awashangaa Wanawake Wanaotukana Katika Mitandao ya Kijamii.

Mwanadada shiloleh amefunguka na kusema kuwa amekuwa akwashangaa sana wasichana wanaokaa kutwa kutykana na watu katika mitndao ya kjiamii kama hawana kazi za kufanya wakati kuna mambo mengi ya kushughulika nayo.

Shiloleh anasema kuwa aina hiyo ya wanawake wanakera na pia wanatia aibu sana wanawake wenzao , hivyo waache mara moja na kufanya vitu vingine vya maana.

download latest music    

Akiongea  katika mahojiano, shiloleh anasema “nashangaa kuona watoto wa kike wako busy kutukana  katika mitandao ya kijamii, wakumbuke kuwa hata bibi pia alikuwaga msichana kwaio waache hayo mambo na waanze kufocus katika mambo ya muhimu katika maisha”

Kwa kuongea hapo, shiloleh pia anasema kuwa watu waache kumsema vibaya msanii Chid Benz kwa sababu kwa sasa hayuko kama alivyokuwa zamani na kwamba amebadilika sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.