Sijawahi Kulia Kisa Mapenzi :-Aslay

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchi Aslay amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake  ya mahusiano hajawahi kulizwa na mwanamke kisa mahusiano hivyo mapenzi .

Aslay ambae alikuwa na mahusiano na mwanadada Tessy Chocolate kwa muda mrefu sana na kubahatika kupata mtoto mmoja laki ni walikuja kuachana bila kuwa na sababu bayana ya kufanya hivyo  na hata baadae kuanza kuwa na skendo za kuwa katika mahusiano na wanawake tofauti .

download latest music    

Mwanamuziki huyo anasema “sijawahi kulia kwa sababu ya mapenz lakini niliwahi kulia machozi kwa sababu  nilimpoteza mama yangu mzazi”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.