Sijawahi Kulia Kisa Mapenzi :-Aslay
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchi Aslay amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya mahusiano hajawahi kulizwa na mwanamke kisa mahusiano hivyo mapenzi .
Aslay ambae alikuwa na mahusiano na mwanadada Tessy Chocolate kwa muda mrefu sana na kubahatika kupata mtoto mmoja laki ni walikuja kuachana bila kuwa na sababu bayana ya kufanya hivyo na hata baadae kuanza kuwa na skendo za kuwa katika mahusiano na wanawake tofauti .
Mwanamuziki huyo anasema “sijawahi kulia kwa sababu ya mapenz lakini niliwahi kulia machozi kwa sababu nilimpoteza mama yangu mzazi”