Sijawahi Kuwa na kiben- ten Zaidi ya Bond -Wastara

Msanii wa bongo movies na muziki pia amefunguka na kuwataka watu wasikariri maisha na kuanza kumsema vibaya kwa vitu ambavyo sio vya kweli hasa wale wanaokaa na kumsema kuwa amekuwa na tabia ya kutoak na vijana wenye umri mdogo.

Wastara anasema kuwa hajawahi kuwana mahusiano na vijana wadogo zaidi ya Bond tu na wala hakuna kijana mwingine huku aksiema kuwa katika mahusiano anapenda mtu amzidi yeye miaka miwili au mmoja.

download latest music    

Sijawahi kuwa na mahusiano na kibenten zaidi ya bond amabae alinizidi miaka miwili tu yeye alizaliwa 81 na mimi 83 lakini kutokana na mwili wangu unaniponza naonekana mimi mkubwa lakini sina mazoea ya kutoka na vibenten kama watu wanavyosema.

mimi napenda mtu anizidi na kama atanizidi badi ni mwaka mmoja au miwli kwa bahatai mbaya tu kama inatokea kuwa tunakutana kama ilivyotokea kwa sajuki haikuwa serious lakini ilitengeneza mahusiano mpaka ndoa.

Wastara amekuwa akisemwa kuwa amekuwa akitembea na vijana wadogo na hata hivi karibuni alikanusha tetesi za kutembea a familia ya kina Alikiba.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.