Siku Chache Baada ya Kuachana na Otile, Vera Sidika Aibuka na Mwanaume Mpya.

Ikiwa ni muda mchache umepita tangu mwanadada vera sidika kutoka kenya kutangaza  rasmi kuhusu mahusiano yake na msanii wa nchini humo Otile Brown, wiki hii mwanadada huyo ameonekana akiwa na mwanaume mwingine katika moja ya migahawa mikubwa iliyopo nchini humo.

Vera na Otile ambao walikuwa  wapnzi kwa muda mfupi sana walikuja kuacana ghafla bila wapenzi wao kutegemea huku ikisemekana kuwa vera alikuwa alikuwa akitafuta kukuza jina lake na biashara zake zaidi na huku Otile akimtumia Vera kwa ajili ya kukuza muziki wake na kumtumia mwanadada huyo kama video vixen katika nyimbo zake.

download latest music    

Hata hivyo mahusiano ya wasanii na watu maarufu yamekuwa yakishindwa kufanikiwa kutokana na kutokuwa na uaminifu lakini pia kunakuwa na malengo kadhaa ambayo mmoja kati yao anakuwa akitaka yakamilike na yakikamilika tu basi wanaweza kuachana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.