Sikuzimia , Niliishiwa Nguvu na Niliomba Msaada:-Rammy Galis Afunguka

Msanii wa bongo movies  Rammy Galis ambae alizua gumzo katika mitandao baada ya picha yake kusambaa katika mitandao na wengine kumsema vibaya amefunguka na kuongelea hali yake siku ya msiba wa aliyekuwa mpezni wake agness masogange pale Leaders Club ambapo msanii huyo alionekana kubebwa huku akiwa ameshikilia kitambaa cha mkononi.

Galis anasema kuwa hakuzimia kabisa na kwamba kutokana na kusimama kwa muda mrefu lakini pia majonzi aliyokuwa nayo alijikuta anaishiwa nguvu na kushindwa kuendelea kusimama hivyo aliamua kuomba msaada kwa waliokuwa karibu yake ndipo walipoamua kumsaidia.

download latest music    

Unajua nilisimama sana pale uwanjani tangu tunafikisha mwili pale uwanjani, na mpka watu wanaanzakuaga, hivyo nadhani ni kwa sababu nilisismama muda mrefu nikajiona naazna kuishiwa nguvu ghafa.Niliwafahamisha wenzangu na ndipo walipoamua kunisaidia .hivyo pamoja na kwamba wao waliamua kunibeba lakini sio kwamba nilikuwa nimeishiwa nguvu,hapana lakini ni kwa sababu nilikuwa sina nguvu na ndio maana niliweza kusihka kile kitambaa, naomba watu wanielewe wala siwezi kuigiza na wala kufanya hivyo kwenye msiba.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.