Sina Muda wa Mapenzi Kwa Sasa:Mimi Mars

Msanii  mrembo kutoka familia ya Mdee Music Mimi Mars amefunguka hali yake ya mahusiano kwa sasa na kusema kuwa kwa sasa hana muda wa kuendekeza mapenzi zaidi ya kufanya kazi kwa sababu bado kuna vigeoz anataka kwa mwanaume ingawa anapoaamua kuvitaja hadharani wengi wanamfata na kumwambia kuwa hata wao pia wanavyo.

Akiongea katika station moja ya radio iliyopo mtandaoni Mimi Mars alisema kuwa huwa hatumiI muda wake mwingi katika kujihusisha na mapenzi zaidi ya kazi na hata siku ya wapendanao alilala siku nzima na kisha kwenda studio.

download latest music    

Valentine yangu nililala tu siku nzima na baada ya hapo nilamka na kwenda studio kumalizaia mabo fluani kuhusu papara,kwangu hiyo ni siku ya kawaida tu kwa sababu sisis watu tusiokuwa na mahusiano ni kawaida tu.

Baada ta sitamani kumekuwa na Dm’s nyingi sana wakitaka kuingia katika mahusiano na mimi hivyo nikaamua kuja na hiyo papara kwa sababu nataka kuwaionyesha kwamba jamani eeh mimi sina mapapara na mabo ya mapenzi na sina muda na mambo hayo kwa sasa zaidi ya ku-chill tu.

sitaki kuwa katika situationyoyote ya mapenzi kwa sasa hiyo njia imefungwa labda baadae kidogo kama katikati ta mwaka hivi.

Akiongezea kwa kutaja sifa za mwanaume anayempenda Mimi Mars alisema kuwa anapenda mwanaume ambae:

hasiwe mtu maarufu lakini pia awe tu ni mtu anaejielewa sana na awe na goals zake na awe anafight kuzi-make happen lakini pia awe na hofu ya mungu ,na kwenye sura kidogo awe amaizing.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.