Sina Uhakika Kama Mange ni Binadamu wa Kawaida.:-Dr.Tulia Ackson

Mh .naibu spika wa jamhuri wa muungano wa Tanzania Dr Tulia Ackson amefunguka na kusema kuwa hana uhakika sana kama mwandada mabe ni mwana harakati na muongeaji katika mitandao ya kijamii kama ni binadamu wa kawaida.hivyo basi inakuwa ngumu sana kwake kum-judge mwanadada huyo kama anakosea au kama yupo sahihi.

sina uhakika kama na yeye ni binadamu wa kawaida kama mimi au, kwaio nikikuana nae ndo nitajua nini cha kuzungumza ,lakini kwa yake ninayoyasikia ya hapa na pale kuhusu yeye sina uhakika sana kama na yeye ni binadamu wa kawaida kama mimi au sio ila nikipata nafasi ya kumuona nitazungumza nae.

siwezi sema kama anakosea kwa sababu sijajua yeye ni wa aina gani kama nilivyosema hapo awali,huenda hakosei kutokana na aina yake ya ubinadamu yaan species yake ni tofauti, kwaio kama spicies yake ni tofauti hapo huwezi kusema kuwa anakosea.

Maneno ya Dr Tulia yanaweza kuja baaada ya mwanaharakati huyo kuwa na mambo mengi sana anayoajua ambayo inawezekana kuwa mengine ni ukweli na mengine hayana ukweli lakini Mange siku zote amekuwa ni mtu wa kutoa taarifa mbalimbali ya kinachofanyika sehemu  mbalimbali , na ukiachana na mambo ya siasa anayoyafanya lakini pia amekuwa akitoa siri nyingi kuhusu wasanii na watu maarufu bongo.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.