Sio Rahisi Kusaini Wcb:-Belle 9

Msani wa bongo fleva Belle 9  amefunguka kuhusu kusaini katika lebel ya WCB ,mwanamuziki huyo anaetamba na wimbo wa dada  ameiambia The play List ya   Times fm  amesema kwa anaweza kuwa katika lebel hiyo lakini anaona kuwa  ni vigumu sana kusaini katika lebel hiyo.

ikitokea  tunaweza kusainiwa basi tunaweza kufanya kazi lakini nadhani kuna condition za kusainiwa sio rahisi tu kusainiwa hapo inabidi tupate muda kuiangalia mikataba hiyo kwanza na kuifikisha kwa wanasheria wang kwanza waiangaliae

unajua kwa muda ambao nilikuwa mimi mwenye nilishajua nini ninahitaji ili kutoka hapa kwenda mbele,na kuna jinsi ninavyotaki hii safari iwe.

Siku hapo nyuma karibuni Belle 9 alionekana akiwa na bendi ya wasafi akiwa anafanya mazoezi hata hivyo yeye mwenyewe anasema kuwa alikwenda hapo kwa ajili ya mkataba na bado haujakamilika.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.