Sio Rahisi Kusaini Wcb:-Belle 9
Msani wa bongo fleva Belle 9 amefunguka kuhusu kusaini katika lebel ya WCB ,mwanamuziki huyo anaetamba na wimbo wa dada ameiambia The play List ya Times fm amesema kwa anaweza kuwa katika lebel hiyo lakini anaona kuwa ni vigumu sana kusaini katika lebel hiyo.
ikitokea tunaweza kusainiwa basi tunaweza kufanya kazi lakini nadhani kuna condition za kusainiwa sio rahisi tu kusainiwa hapo inabidi tupate muda kuiangalia mikataba hiyo kwanza na kuifikisha kwa wanasheria wang kwanza waiangaliae
unajua kwa muda ambao nilikuwa mimi mwenye nilishajua nini ninahitaji ili kutoka hapa kwenda mbele,na kuna jinsi ninavyotaki hii safari iwe.
Siku hapo nyuma karibuni Belle 9 alionekana akiwa na bendi ya wasafi akiwa anafanya mazoezi hata hivyo yeye mwenyewe anasema kuwa alikwenda hapo kwa ajili ya mkataba na bado haujakamilika.