Siri ya Mmiliki wa WCB Yafichuka

Baada ya kuwa na figisu nyingi sana hasa kuhusu matamasha yanayoendelea  nchini  yaani fiesta inayoendeshwa na Clouds media na lile la Wasafi Festival ambayo imeacha tension kubwa sana katika pande hizo mbili , watu wamekuwa wakichokonoa mambo mbalimbali na kufikia hatua ya kusema kuwa inawezekana hata  wasafi tv ni ya Clouds Media pia.

kwa evidence zilizotolewa zinasema kuwa jina la roots ya wasafi tv ni kutoka Clouds Media hivyo inawezekana kuwa bosi wa Clouds ndio bosi wa wasafi hiyo wawili hao  hawakupaswa kuwa na ushindani na kurushiana madongo kwa kiais hiki.

download latest music    

katika moja ya page ya udaku ya shilawadu ambacho ni moja ya kpindi kinachorushwa na clouds mdia waliandika “inasemekana kuwa picha hii ilipigwa siku moja ndugu zetu walipokuwa studio wakifunga mitambo na mafundi wetu, satelite ilisajiliwa na kwa jina la clouds na tv yenyewe ni hii…..jifanye unajikuna…tusitoane damu bure wakati sisi wote ni vidampa tu …Bosi wetu ni mmoja …TABUIKOPALEPALE.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.