“Sitaki Mtoto Wangu Aingie Kwenye Sanaa”-Yusuph Mlela

Muigizaji wa Bongo movie Yusuph Mlela amefunguka na kusema kuweka wazi kuwa hajafikiria kuhusu kumpeleka Mtoto Wake wa miaka Sita aanzae kuigiza.

Yusuph Mlela ana Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka sita  aliyezaa na Mpenzi Wake wa zamani Lakini Baada ya kuachana amemuacha na Mtoto na yeye ndio anamlea.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti Risasi Mchanganyiko, Mlela ameweka wazi kuwa hana mpango wa kumuingiza Mtoto wake kwenye Sanaa Mpaka pale atakapokuwa mkubwa na kuamua mwenyewe.

Hapana, sitaki mtoto wangu nimuingize kwenye uigizaji, nataka yeye mwenyewe kama atapenda ndiyo baadaye aingie, lakini sitaki nimtengeneze katika mazingira haya, nataka yeye mwenyewe ndiye achague maisha yake. Pia kama atapenda sanaa, nitamruhusu“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.