Siumii Wala Sichanganyikiwi na Maneno ya Mitandaoni:-Chid Benz

Msanii mkongwe Tanzania Chid Benz amefunguka na kusema kuwa yeye sio mtu wa kuwa anaumia katika mitandao ya kijamii kwa sababu anajua kabisa kuwa mengi yanayoandika kuhusu yeye hayana ukweli woowte hivyo roho yake huwa aina shida na manno hayo.

Huku baadhi ya wasanii wakisema kuwa maneno ya mitandaoni huwavunja moya na hata kuwafanya walie wanapojiona katika mitandao ya kijamii au katika kurasa za udaku za magezeti .

download latest music    

Akiongea na waaandishi wa habari, SIUMII WALA KUCHANGANYIKIWA NA MANENO KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWA SABABU SIO YA KWELI.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.