Siwema Wa Ney Afunguka Mahusiano Yake na Mtoto Wake

Mwanadada mrembo ambae alishawahi kuwa na mahusino ya kimapenzi na msanii Ney wa Mitego  na kubahatika kupata mtoto mmoja wa kiume anaejulikana kwa jina la Siwema, amefunguka kuongelea mahusiao yake na mtoto wake huyo wa kiume ambae kwa sasa anakaa kwa Ney wa Mitego na amekuwa akilelewa na mama mzazi wa Ney wa Mitego tangu wawili hao walipoachana.

Ney wa Mitego na Siwema waliachana kama miaka miwili iliyopita huku sababu kubwa ikiwa ni ufuksa  wa mwanamke huyo na kuandamwa na kesi zilizompelekea kuwekwa rumande mara kadhaa hiyo kumfanya ney wa mitego kuamua kumchukua mtoto huyo ili aweze kulelewa akiwa kwao.

download latest music    

Ney wa mitego akiwa na mtoto wake wa kiume.

Hata hivyo habari za hapa karibuni zilikuwa zikisema kuwa tangu wawili hao waweze na Ney wa Mitego kumchukua mtoto mwanamke huyo hajawahi kuonana na mtoto wake kwa sababu hakuna mahusiano mazuri kati yao.Akikanusha hilo Siwema amesema kuwa sio kweli kuwa hajawahi kumuona mtoto huyo kwa sababu kila anapopata muda uonanan na mtoto wake ingawa  baba yake amekuwa hajui ilo..

ninaongea nae kila mara kwa simu, na pia nilishakwenda kumuona nyumbani zaidi ya mara tatu,sema tu baba yake na mtoto hajui hivyo labda kwa sababu pia hajawahi kumuuliza mama yake ninayemkuta nyumbani . Alisema Siwema .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.