Siwezi Date na Diamond ni Pasua Kichwa :-Dayna Nyange
Mwanadada Dayna Nyange amefunguka na kusema ukweli wake kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake Diamond Platinumz kwa sababu ni pasua kichwa na kama atadate nae basi anaweza kumfanya kuwa na stress sana kiasi kwamba atamkondesha.
Alipokuwa akijibu swala la moja ya mashabiki zake katika ukurasa wake wa instagram, dayna alisema kuwa : pasua kichwa atanifanya nirudi kiportable kwa stress”
Hii inaweza kuwa ni kutokana na skendo nyingi za mapenzi na wanawake Diamond anazokumbana nazo ambazo zinawafanya baadhi ya wanawake kusema hivyo akiwemo Dayna.