Siwezi Kukosa Mwaliko wa Harusi ya Lulu :-Juma Lokole
Kijana maarufu mtandaoni juma lokole maarufu kama kichefuchefu amefunguka na kuongelea harusi ya rafiki yake kipenzi Lulu Elizabeth Michael na kusema kuwa amekuwa akisikia katika mitandao wakiongelea swala hilo alkini hata kama harusi ipo hata siku moja hatokosa katika sherehe hiyo.
Nani kasema kuwa kuna harusi (huku anacheka) harusi kifika mtaambiwa tu lakini jua mimi siwezi kukosa harusi ya lulu hata siku moja na ikifika tu mtajua kuwa imefika na lisemwalo lipo na kama halipo linakuja kwaio tuake tusubiri ingawa hata mimi hzi habari ninazisikia tu.
Juma anasema kuwa harusi lazia itakuwepo kwa sababu pezni kati ya lulu na majizo sio la kinafiki kama watu wanavyofikiria lakini ni penzi kutoka moyoni.
penzi lao sio la kinafiki ni mapenzi kutoka moyoni, majizo anampenda Lulu na Lulu anampenda Majizo na kama rc katangaza maswala ya ndoa basi rc atakuwa anajua.