Siwezi Kumpenda Mwanaume kwa Sababu ya Pesa au Muonekano.:Johari
Mwandada Johari Chagula amefunguka na kusema kuwa kamwe katika maisha yake haangalii muonekeno wa mwanaume ili kuwa nae katika mahusiano kwa sababu anajua kuwa vitu kama hivyo vinatafutwa na muonekano kwake sio muhimu sana.
Johari ambae mpaka sasa hivi bado hajatangaza kuwa katika mahusiano wala kutaka kuolewa tangu alipoachana na Ray Kigosi na kuwa na mahusiano na Chuchu hans anasema kuwa haja haja ya kuwa na mwanuem mwenye pesa wala muonekanao lakini anatamani kupata mwanaume mweny hofu ya Mungu.
Siwezi kumtaka mwanaume kutokana na muonekano wake au rangi yake,pia siwezi kumpenda kutokana na pesa maana hivyo vinatafutwa pia.mimi ninataka mwanaume anaejituma katika kutafuta lakini pia mweny hofu ya Mungu.