Siwezi Kwenda Kula Chakula kwa Shishi Food;-Mziwanda

Mwanamuziki Nuh Mziwanda amefunguka na kusema kuwa kamwe katika maisha yake hawezi kwenda kula chakula kwa shiloleh mwanamke ambae aliwahi kuwa nae katika mahusiano hapo awali lakini baadae kutengana na shiloleh kuolewa na mwanaume mwingine.

Nuh anasema kuwa hata kama kuna chakula cha aia gani lakini hatokaa hata siku moja kukanyaga pale kwa sababu wameshagombana na aatakuwa anaenda pale kufanya nini .

download latest music    

Siwezi kwenda kula chakula kwa kwake,siwezi hata kukanyaga mguu wangu pale  siwezi tu.naendaje mii kula pale na wala haitatokea mimi kwenda kula pale hata kama kuna msosi mtamu lakini pia hata mama yangu anajua sana kupika.

Nuh na shiloleh waliwahi kuwa wapenzi kwa muda mrefu  kipindi cha nyuma lakini walikuja kushindwana kwa tetesi kuwa Nuh alikuwa akiteswa sana na Shiloleh na kupigwa  sana shiloleh.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.