Snura Aitwa Tena BASATA, Abanwa kwa Masaa Matatu

Mwanadada snura majanga ameitwa tena basata ikiwa hii ni mara ya pili  sasa baada ya kuweka video katika ukurasa wake na video hiyo kusambaa ikimuonyesha akiwa jukwaani akicheza huku ikisemekana kuwa video hiyo haina maadili na haikupaswa kusambazwa.

hata hivyo kikao hicho kilichodumukwa masaa kama matatu , hakijajulikana msanii huyo aliambiwa nini lakini hata aliponwa na waandishi wa habari hakutaka kuzungumzia swala hilo.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.