Snura- Msambwanda Wangu ni Originali

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Snura Mushi au maarufu kama Mama wa Majanga amefunguka na kuweka wazi kuwa shepu lake alilokuwa nalo ni originali na sio feki kama watu wengi wanavyosema.

Snura ambaye anajulikana kwa kufanya video au shoo ambazo zinakuwa nje ya maadili hasa k a sababu ya uchezaji wake ambao umesababisha kufungiwa baadhi ya nyimbo zake huku hayo yite yakisababishwa na umbo lake.

download latest music    
Kwenye mahojiano na EATV, Shilole amefunguka na kudai hajawahi kutumia dawa za kichina za kuongeza makalio kama watu wanavyomwambia bali umbo lake ni ‘original’.

Nina utofauti kidogo jinsi nilivyoumbwa mimi kiukweli ukiacha hiyo shepu yangu watu wanayoiongelea …Mimi ukiniangalia tu unajua tu ni ‘Original’ kwa sababu kwanza naweza kuongeza kalio kwa kuliongeza lakini je na nilivyokatika ? naweza kuchukua kisu nikajichimba, mimi nilivyo hapa katikati nimetumbukia kabisa yaani nimegawa mgongo pekee yake na chini peke yake“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.