Soudy Brown na Maua Sama Waachiwa Kwa Dhamana

Mtangazaji wa Clouds Fm Soudy Brown na Msanii wa Bongo fleva Maua Sama wameachiwa kwa dhamana na jeshi la polisi baada ya kukaa rumande kwa wiki moja.

Soudy Brown na Maua Sama walishikiliwa na jeshi la polisi baada ya kuhusishwa na video waliyoisambaza Kwenye mitandao ya kijamii iliyoonyesha watu wakichezea na Kukanyagawpes

download latest music    

Soudy Brown, Maua Sama na Meneja wake Fadhili Kondo waliachiwa jana Septemba 25, jioni lakini wote wanatakiwa kesho kuripoti kituo cha kati (Central Police Station) saa 4 asubuhi.

Watatu hao jana walirudishwa mahabusu baada ya kupata dhamana ya kesi ya kwanza ya kuweka maudhui mitandao bila kibali kutoka kwa mamlaka husika, lakini waliendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa kile kilichodaiwa kuwa bado wanakosa lingine la kujibu, huku Mawakili wao wakizungumzia tukio la kukanyaga fedha ya Tanzania.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.