Stara Thomas-Wasanii Wengi Mavazi Yao Hayana Stara

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Mwanamama Stara Thomas amewaibukia wasanii wakileo na kuyachambua mavazi yao na kusema hayana Stara wala heshima.

Stara alifunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao wa Dizzim Online na kuweka wazi kuwa hicho ni moja kati ya vitu ambavyo vinamkera kwenye Sanaa ya Leo ni wasanii kukosa maadili.

download latest music    

Maadili Kama maadili nikijaribu kuyaangalia kwa vijana ambao kwa sasa hivi wanafanya muziki wanajisahau sana, mavazi yao hayana Stara kwani wasanii wengi Hivi sasa wana mentality moja kwamba eti ‘Tunaenda na fashion’”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.