Steve Aliyegomba na Mama Wema Leo Wako Pamoja, Mzazi Hakosei.;-Steve Nyerere

Msanii ambae amekuwa kama kiongozi kwa wasanii wengine siku zote panapotokea jambo lolote alipata nafasi ya kuzungumza na vyombo vya habari na kusema kuwa wasanii na watu wote kwa ujumla wanapaswa kukumbuka kuwa kuna mungu na kumrudia yeye siku zote.

Akiongea baada ya kutulia kwa sakata la kugambania msiba wa mtoto wa Muna  love kati ya baba na mama steve anasema kuwa “inabidi watu wajifunze kutubu, na lakini pia kikubwa mnapaswa kujua kuwa wazazi wanaheshimia siku zote na hawajawahi kukosea”

download latest music    

Steve nyerere vambae aliamua kutolea mfano wa mahusiano yake na mama wema kwa sasa anasema kuwa kuna mambo mengi yaliwahi kutokea kati yake na mama yake wema lakini mwisho wa siku aligundua kuwa yule ni mama na hawezi kukosea na ndio maana hata yeye wapo pamoja na Mama Wema kwa sababu ni mama.

hakuna baba aliyewahi kukosea na hakuna mama aliywahi kukosea , leo mtashanga kuwa steve yule yule aliyegombana na mama wema leo wako pamoja pale wanakula na kunywa kwa sababu ni mama , pamoja na mama wema nae anayo ya kwake lakini ni mama , hakuna mama mbaya duniani.tujifunze kuwaheshimu wazazi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.