Steve Nyerere Aongelea Tangazo Lake Kuhusu Ndoa ya Wema.
Mwanabongo movis steve nyerere aliwahi kuweka post moja iliyozua maneno mengi sana katika mitandao ya kijamii kuhusu ndoa ya mwanadada wema sepetu na mwanaume mmoja anejulikana kwa jina la rahul.
Katika posti hiyo,Steve aliandika kuwa ndoa ya mwanadada huyo na Rahul inakuja soon. lakini alipojuwa akiongea na Ayo Tv , Steve alisema kuwa alikuwa anatania kwa lengo la kuwapima watanzania na uwaona watasema nini.
Nilikuwa tu natania , nilikuwa natania kwa sababu nilitaka kuona tempe ya watu, unajua kuwa ukikaa muda mrefu bila utani au kucheka inakuwa sio vizuri na kwa watanzania wanaopedna sana umbea na ndio maana nilitaka tu kuona.Watanzania wengi wanapenda sana umbea , hawapendi kufanya kazi ,kwaio unaangalia tu temper ya watu .