Steve Nyerere -Hakuna Msanii Yoyote alikasirishwa na Uteuzi wa Jokate .
Msanii wa bongo movies steve nyerere amefunguka na kukanusha ttesi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu yeye kuwa amekasirika kwa sababu ya kuteuliwa kwa mwanadada Jokate kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe na kusema kuwa yeye anamshukuru sana rais kwa sababu ameleta heshima katika tansia ya sanaa.
Steve anasema kuwa maneno yamekuwa yakizunguka mengi sana huku wengine wakipinga uteuzi huo kuwa ni wa upendeleo lakini kwake ni furaha sana kwa Jokate kuwa mkuu wa wilaya.
moja ya kazi aliyonayo baada ya kuteuliwa ni kutuwakilisha sisi vijana wenzake na ametuwakilisha sisi vijana,kwa namna moja ama nyingine hakuna msanii yoyote au msanii yoyote alikasirishwa na uchaguzi wa ma-DC wote tuko tayari kuwasapoti katika kazi kwa namna moja au nyingine. vinavyoongelewa na kuashiriwa ni vya kwenye mitandao tu wala hakuna kitu kama icho.