Steve Nyerere Kuwaombea Viongozi Waliofariki.

Kiongozi  wa bongo movies Steve Nyerere  pamoja na team yake ya uzalendo ameanda siku maarumu ya jumamosi hii kwa ajili ya kuwaombea wasanii na viongozi walitangulia mbele ya haki na kuwaenzi watu hao., maombezi ambayo yatafanyika jijini Dar katika viwanja vya Leaders club.

Steve Nyerere amesema kuwa tukio ilo la maombezi litafanyika sambamba na kuwafutulisha watu wote watakaokuwepo ambao watakuwa katika kuendeleza mfungo wa Ramadhan.

download latest music    

tunataka kuwakumbuka ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki,sisi tuliobaki tunatakiwa kuwakumbuka na kuwaombea ndugu zetu.sis tupo nyuma yao kwaio kama wazalendo kwanza tumeona tuanda e tukio la aina hiyo kila staa na kiongozi aliyetangulkia mbele ya haki tutamuombea.

Steve Nyerere pia ansema kuwa maombezi haya yatawagusa watu  wote katika tasnia ya sanaa bula kubagua kuwa ni muziki au filamu hivyo itakuwa ni waimbaji, waandaaji wa muziki, waandaaji wa filamu, watayarishaji, waigizaji , nahata waandishi wa habari ambao wamekuwa wakiandika habari za wasanii lakini ndio hivyo wametangulia mbele za haki.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.